• Facebook
  • Twitter
  • Google Plus
  • Contact

FILM TANZANIA

FILM TANZANIA

  • Home
  • INTERVIEW
  • SIMULIZI
  • HABARI
  • BEHIND THE SCENES
  • LOCATION
  • ABOUT
    • Facebook
    • Twitter
    • Google Plus
Home » HABARI » IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA

IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA

1 Comment
HABARI


Hayati Steven Kanumba amezaliwa
Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania
Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania
Kazi yake Muigizaji,Mtunzi,Mtayarishaji,Muongozaji
Steven Charles Kanumba (8 Januari1984,Shinyanga-7 Aprili2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini.
Maisha
Steven alianza masomo yake katikashuleya msingi yaBugoyi, na kuendela na masomo ya sekondari huko Mwadui na baadae kupata uhamisho katika shule moja jijini Dar es Salaam iitwayo Dar Christian Seminary. Alivyomaliza kidato cha nne akaendelea na masomo ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya Jitegemee ilioko huko huko Dar es salaam.
 Kanumba ameanza shughuli za kuigiza miaka mingi kwenye miaka ya “90”. Ila kufahamika zaidi alianza mwaka2002 mara tu baada ya kujiunga na kundi la sanaa ya maigizo maarufu kama Kaole Sanaa Group.
Steven Kanumba hivi sasa amejibebea umaarufu mkubwa nchini Tanzaniana amekuwa kipenzi cha wengi na amekubalika karibuni nchi zote zaAfrika Masharikina maziwa makuu.
Kwa sasa ameanza kutangaza sanaa nchi za Afrika ya Magharibi ikiwemo Nigeriana pia Wanigeria wamependezewa na uigizaji wake hivyo kushirikiana pamoja naye katika filamu kadha wa kadha. Filamu ambazo wameshawahi kushirikiana pamoja ikiwemo na ile yaDar to Lagos,She is My Sisterna nyingine ambazo bado zinajengwa.
Baadhi ya filamu na Tamthilia Alizoshiki
1Tufani( Johari )
2Gharika
3Baragumu
4Sikitiko Langu
5Johari 2
6Dangerous Desire
7Dar 2 Lagosi
8Cross my Sin
9Village Pastor
10Family Tears
↑Rudi Sehemu A
Filamu na Tamthilia Alizoigiza
1Jahazi( Tamthilia )
2Dira( Tamthilia )
3Tufani( Johari )
4Gharika( Tamthilia )
5Baragumu( Tamthilia )
6Sikitiko Langu(Filamu)
7Johari 2(Filamu)
8Dangerous Desire(Filamu)
9Dar 2 Lagosi
10Riziki (film)(Filamu)
11Cross my Sin(Filamu)


BONYEZA HIYO PICHA 

1 Response to "IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA"

  1. Unknown11 July 2020 at 10:58

    naumia sana baba wasanaa ameacha pengo kubwa sana asa kwasisi wasanii wadogo tuna teseka sana

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
Add comment
Load more...

← Newer Post Older Post → Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FOLLOW US

POPULAR POSTS

  • KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}
    Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee h...
  • IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA
    Hayati Steven Kanumba amezaliwa Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania Kaz...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 01
                                                                                                             SAMAKI MTU(MERMAID)   ...
  • MZEE MSISIRI ATUMBUA JIPU
    •••• ♦ •••• ♦ •••• ♦ •••• ♠ ••• ♦ 1. Jina langu kamili ni FADHILI RAJABU MSISILI 2. Kabira langu ni Chotara wa kizigua kwa baba na ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 04
                                                                                                                          SAMAKI MTU(MERMAID...
  • ULINGO WA MOTO FILAM YA MAPIGANO YENYE UARISIA
    Daaah!!! Nikali tena ni noma sana,Usisa hau wala usikose kupata nakala yako.Tarehe 23/4/2018 filamu hii itakua tayari imo sokoni.....UL...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 02
                                                           SAMAKI MTU(MERMAID)                                                        ...
  • MFAHAM JUMA KILOWEKO SAJUKI
    Sajuki alizaliwa mwaka 1984, mkoani Songea na kupata elimu yake ya msing na sekondari hukohuko mkoani Songea.Ambapo mwaka 2005 aliweza ku...
  • JINSI YA KUTENGENEZA FILAM NA KUUZA
     KATIKA miongo kadhaa iliyopita filam nyingi zenye mafanikio zimetokezwa huko Hollywood. Hilo limekuwa na uvutano mkubwa ulimwenguni pote ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 11
                                                                   SAMAKI MTU(MERMAID)                                                 ...
Back to top!
Copyright (c) 2014 FILM TANZANIA. All Rights Reserved Created by Flash TZ Blog. Designed by Flash TZ Blog. Powered by Blogger.