• Facebook
  • Twitter
  • Google Plus
  • Contact

FILM TANZANIA

FILM TANZANIA

  • Home
  • INTERVIEW
  • SIMULIZI
  • HABARI
  • BEHIND THE SCENES
  • LOCATION
  • ABOUT
    • Facebook
    • Twitter
    • Google Plus
Home » Uncategories » VITU VYA KUVIZINGATIA

VITU VYA KUVIZINGATIA

Add Comment


Vitu vya kuzingatia unapohitaji kuandika story ya filamu kabla ya kuandika kuna vipengele lazima upitie uweze kukamirisha story.                                                                                                                           1. Wazo yaani aina ya story namaanisha story ya aina gani uandike.
 2. Muhusuka wako jinsia gani, umri gani, tabia yake, kazi yake anayoifanya, anayo familia au ana familia nk. 3. Muhusika wako analo lengo gani katika hiyo story nini azma yake Mfano:- kufuatilia mauaji, anatafuta kazi ili aweze kujikwamua kimaisha.
 4. Lazima tuone vikwazo anapokaribia kufanikiwa au kufanikisha lengo lake kitatokea kikwazo hapo ndipo unapata msisimko wa filamu hapo katika kikwazo ndipo tunapata adui au maadui wake na huyo hadui anaweza kuwa mtu, jini au hata mazingira na hata njaa pia ni adui.
 5. Lazima atatue kikwazo atakabiliana vipi na adui.
 6. Majibu yote yapatikane katika story yako muhusika wako atafanikiwa au hatofanikiwa, tujifunze katika filamu za wenzetu zipo steering anakufa adui anabakia ina maana steering ameshindwa kukwamua tatizo na Mara nyingi vikwazo kama hivi adui anayo nguvu nyingi au akili nyingi za kupambana na steering, hizi ni hatua za mpanfilio wa story.

0 Response to "VITU VYA KUVIZINGATIA"

← Newer Post Older Post → Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FOLLOW US

POPULAR POSTS

  • KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}
    Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee h...
  • IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA
    Hayati Steven Kanumba amezaliwa Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania Kaz...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 01
                                                                                                             SAMAKI MTU(MERMAID)   ...
  • MZEE MSISIRI ATUMBUA JIPU
    •••• ♦ •••• ♦ •••• ♦ •••• ♠ ••• ♦ 1. Jina langu kamili ni FADHILI RAJABU MSISILI 2. Kabira langu ni Chotara wa kizigua kwa baba na ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 04
                                                                                                                          SAMAKI MTU(MERMAID...
  • ULINGO WA MOTO FILAM YA MAPIGANO YENYE UARISIA
    Daaah!!! Nikali tena ni noma sana,Usisa hau wala usikose kupata nakala yako.Tarehe 23/4/2018 filamu hii itakua tayari imo sokoni.....UL...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 02
                                                           SAMAKI MTU(MERMAID)                                                        ...
  • MFAHAM JUMA KILOWEKO SAJUKI
    Sajuki alizaliwa mwaka 1984, mkoani Songea na kupata elimu yake ya msing na sekondari hukohuko mkoani Songea.Ambapo mwaka 2005 aliweza ku...
  • JINSI YA KUTENGENEZA FILAM NA KUUZA
     KATIKA miongo kadhaa iliyopita filam nyingi zenye mafanikio zimetokezwa huko Hollywood. Hilo limekuwa na uvutano mkubwa ulimwenguni pote ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 11
                                                                   SAMAKI MTU(MERMAID)                                                 ...
Back to top!
Copyright (c) 2014 FILM TANZANIA. All Rights Reserved Created by Flash TZ Blog. Designed by Flash TZ Blog. Powered by Blogger.