• Facebook
  • Twitter
  • Google Plus
  • Contact

FILM TANZANIA

FILM TANZANIA

  • Home
  • INTERVIEW
  • SIMULIZI
  • HABARI
  • BEHIND THE SCENES
  • LOCATION
  • ABOUT
    • Facebook
    • Twitter
    • Google Plus
Home » INTERVIEW » JB ATOA POVU

JB ATOA POVU

Add Comment
INTERVIEW


JB msanii mwenye uwezo na uzoefu mkubwa katika tasnia ya bongo movie hapa nchini kwetu Tanzania ameguswa sana na tatizo la kushuka kwa soko la film zetu na kupanda kwa soko la film za kigeni alizungumza na kutoa somo kwa uchache, wafatiliaji wengi wa film sasa hivi wameamia katika tamthilia za kigeni sababu kubwa film zetu zimekosa ubunifu na vionjo vyatakavyo mfanya mtazamaji airudie tena kuiangalia.
Nina machache ya kuzungumzia kuhusiana na film za kitanzania zilivyopoteza soko au kupoteza mashabiki na kupelekea kutoa lawama kwa wauzaji sison za kikorea au sison za kihindi kuwa wao ndo chanzo film zetu hazipati wateja naunga mkono hilo kwa %70 coz hizi sison huuzwa bei rahisi tu na story zao kali za kusisimua tofauti film ya kitanzania bei iko juu lakini mapungufu yake Ni mengi mno hivyo dawa ya kuweka soko sawa Ni watendaji wenyewe kujielewa kuwa jamii inataka nini kwa mana pia mabadiliko huletwa na watu wapya na sio wazamani mfano hai bongo fleva imebadilika kutokana na up coming wengi kufanya vizur kuleta ladha tofauti kabisa na Ile tuliyoizoea zamani,,hivyo nasi tunahitaji up coming wafanye kazi ya ziada bila kujali ubaguzi sokoni kazi nzuri ndio itakayokupa nafasi sokoni,,,la mwisho tuepuke hawa watu producer feki anaandaa film ilimradi apate tu hela pia wasambazaji wababaishaji nao wanaangalia maslai yao mwisho wa cku soko likashuka,naamin nafasi bdo ipo tukiamua

0 Response to "JB ATOA POVU"

← Newer Post Older Post → Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FOLLOW US

POPULAR POSTS

  • KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}
    Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee h...
  • IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA
    Hayati Steven Kanumba amezaliwa Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania Kaz...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 01
                                                                                                             SAMAKI MTU(MERMAID)   ...
  • MZEE MSISIRI ATUMBUA JIPU
    •••• ♦ •••• ♦ •••• ♦ •••• ♠ ••• ♦ 1. Jina langu kamili ni FADHILI RAJABU MSISILI 2. Kabira langu ni Chotara wa kizigua kwa baba na ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 04
                                                                                                                          SAMAKI MTU(MERMAID...
  • ULINGO WA MOTO FILAM YA MAPIGANO YENYE UARISIA
    Daaah!!! Nikali tena ni noma sana,Usisa hau wala usikose kupata nakala yako.Tarehe 23/4/2018 filamu hii itakua tayari imo sokoni.....UL...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 02
                                                           SAMAKI MTU(MERMAID)                                                        ...
  • MFAHAM JUMA KILOWEKO SAJUKI
    Sajuki alizaliwa mwaka 1984, mkoani Songea na kupata elimu yake ya msing na sekondari hukohuko mkoani Songea.Ambapo mwaka 2005 aliweza ku...
  • JINSI YA KUTENGENEZA FILAM NA KUUZA
     KATIKA miongo kadhaa iliyopita filam nyingi zenye mafanikio zimetokezwa huko Hollywood. Hilo limekuwa na uvutano mkubwa ulimwenguni pote ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 11
                                                                   SAMAKI MTU(MERMAID)                                                 ...
Back to top!
Copyright (c) 2014 FILM TANZANIA. All Rights Reserved Created by Flash TZ Blog. Designed by Flash TZ Blog. Powered by Blogger.