• Facebook
  • Twitter
  • Google Plus
  • Contact

FILM TANZANIA

FILM TANZANIA

  • Home
  • INTERVIEW
  • SIMULIZI
  • HABARI
  • BEHIND THE SCENES
  • LOCATION
  • ABOUT
    • Facebook
    • Twitter
    • Google Plus
Home » HABARI » MFAHAMU ERNEST NAPOLIONE

MFAHAMU ERNEST NAPOLIONE

Add Comment
HABARI

 Kama kawaida najisikia kuandika kuhusu Tansinia ya filamu Tanzania....unamkumbuka Mc Napo ....!? jamaa anajulikana kwa jina la Ernest Napolione pichani sidhani kama jamaa kuna kitu aliacha kutoka kuwa Dj mpaka mtangazaji na rapper wa bongofleva na miaka ya karibuni filamu huyu jamaa muigizaji aliyezaliwa nchini Urusi na kuingia Tanzania akiwa na miaka 5 baba yake ni Mtanzania mama yake ni Mrusi filamu yake ya kwanza kuigiza akiwa na miaka 3 na jina la filamu hiyo iliyotengenezwa nchini Urusi iliitwa New year in the Old soviet union baadaye Going Bongo
iliyomtambulisha na Kiumeni (pichani baadhi ya matukio katika filamu hiyo)
huyu jamaa amesomea masomo ya sayansi ya computer na baadaye uandishi na utaarishaji filamu nchini Marekani katika jiji la Los Angeles kwasasa kikubwa jamaa ni Rais wa kampuni kubwa ya filamu D street kazi yake kubwa ni kusimamia filamu katika bara la Afrika na
Afrika mashariki hapa ndiyo lengo la makala hii ilipo mpaka sasa nina maswali kadhaa je 
wataarishaji Filamu kwa fursa hii ni sisi tunapaswa kumtumia Ernest atupeleke katika levo za kimataifa au Ernest atumie nafasi yake kutupeleka katika levo za kimataifa kwa utaarishaji filamu ni fursa ambayo unaweza kusema imekuja katika sahani ya dhahabu ,inakuwaje filamu nyingi zinazozungumzia bara la Afrika hasa Afrika mashariki maeneo yanapotumika kupiga picha hizo ni Kenya kwanini isiwe Tanzania!? kuna haja gani ya kuwa na shirikisho la filamu Tanzania(TAFF), nini maana ya kuwa na chama cha waigizaji Tanzania? umuhimu wa vyama hivi ni nini hasa....!?





0 Response to "MFAHAMU ERNEST NAPOLIONE"

← Newer Post Older Post → Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FOLLOW US

POPULAR POSTS

  • KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}
    Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee h...
  • IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA
    Hayati Steven Kanumba amezaliwa Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania Kaz...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 01
                                                                                                             SAMAKI MTU(MERMAID)   ...
  • MZEE MSISIRI ATUMBUA JIPU
    •••• ♦ •••• ♦ •••• ♦ •••• ♠ ••• ♦ 1. Jina langu kamili ni FADHILI RAJABU MSISILI 2. Kabira langu ni Chotara wa kizigua kwa baba na ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 04
                                                                                                                          SAMAKI MTU(MERMAID...
  • ULINGO WA MOTO FILAM YA MAPIGANO YENYE UARISIA
    Daaah!!! Nikali tena ni noma sana,Usisa hau wala usikose kupata nakala yako.Tarehe 23/4/2018 filamu hii itakua tayari imo sokoni.....UL...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 02
                                                           SAMAKI MTU(MERMAID)                                                        ...
  • MFAHAM JUMA KILOWEKO SAJUKI
    Sajuki alizaliwa mwaka 1984, mkoani Songea na kupata elimu yake ya msing na sekondari hukohuko mkoani Songea.Ambapo mwaka 2005 aliweza ku...
  • JINSI YA KUTENGENEZA FILAM NA KUUZA
     KATIKA miongo kadhaa iliyopita filam nyingi zenye mafanikio zimetokezwa huko Hollywood. Hilo limekuwa na uvutano mkubwa ulimwenguni pote ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 11
                                                                   SAMAKI MTU(MERMAID)                                                 ...
Back to top!
Copyright (c) 2014 FILM TANZANIA. All Rights Reserved Created by Flash TZ Blog. Designed by Flash TZ Blog. Powered by Blogger.