• Facebook
  • Twitter
  • Google Plus
  • Contact

FILM TANZANIA

FILM TANZANIA

  • Home
  • INTERVIEW
  • SIMULIZI
  • HABARI
  • BEHIND THE SCENES
  • LOCATION
  • ABOUT
    • Facebook
    • Twitter
    • Google Plus
Home » HABARI » KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}

KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}

38 Comments
HABARI


Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee hata nchi za wenzetu, kwa kukuaminisha nimeamua kukuwekea picha tofauti tofauti. Endelea kufuatilia habari hii iliyopana zaidi usikate tamaa punguza uvivu ili upate elimu japo kwa uchache na kiupana zaidi. 

THREE ACT STRUCTURE [VITENDO VITATU VYA MUUNDO]
Muundo unakuwa na mlolongo wa matukio unawekwa au kupangwa katika makundi makuu matatu kwa jinsi yanavyotokea katika story muundo huu ndio utampelekea mwandishi kuufuata anapoandika  story au script.
Setup [kuanzisha ]confrontation [mapambano] na resolution [azimio] lakini wengine hutumia beginning [mwanzo] middle[katikati] na end [mwisho]
ACT ONE: SETUP /BEGINNING
Huu ni mwanzo wa filamu hapa wahusika itabidi kutambulika ajulikane nyota, adui na msaidizi au wasaidizi wa nyota pia ifahamike mahusiano yao yamkini wao kwa wao au kwa jamii kazi na mchango wao,wapo katika ulimwengu gani   ulimwengu utoe picha kamili sio wasaidizi wa nyota aonekane mwanzo.
ACT TWO: CONFROTATION /MIDDLE
Muhusika anaamua kulikabili tatizo au anapata msaidizi [wasaidizi ]wakumsaidia kukabili matatizo aliyonayo ni vizuri visa viwe vya ubunifu wa kutosha muhusika mkuu asilifikie hitaji lake kirahisi.
ACT THREE: RESOLUTION /END
Maswali yaliyozaliwa mwanzo wa filamu yanatakiwa kujibiwa hapa muhusika mkuu baada ya kupata mitihani na kuyatatua  anastahili ashinde huku mwisho ndiko kuna somo la kujifunza kwa watazamaji pia hakuna utazima. Mwisho muhusika kushinda inategemea dhumuni la story iliyoandikwa.

MISINGI YA KUZINGATIA KATIKA UHANDISI WA MUSWADA [SCRIPT]
Unapoandika mswada [script] kuna vitu vitatu vya msingi unavyotakiwa kuzingatiwa, muhusika [character] muundo [plot] na dhamira  [theme].
Script ya filamu inayo sehemu kuu nne ambazo kila mwandisi lazima azipitie ili scriptyake iwe nzuri, kwanza kabisa awe na hadithi [story] wazo [idea] kamili hatua [stage] kuzizingatia.
MUUNDO:
Ni suala la msingi kuzingatia muundo wa hadithi ndio inayoonekana matukio na nini kinachotokea katika hadithi hiyo,mtindo wa maneno na vitendo vilivyopangwa vizuri na kuongeza matukio katika hadithi.Muundo umegawanyika katika sehemu kuu tatu yaani mwanzo, kati na mwisho huwa inatege
mea na mwandishi mwenyewe waandishi wengine huanza mwisho kwenda mwanzo au muundo wa moja kwa moja vile vile matendo yanaweza kuelezea story kama inavyokuwa katika riwaya mara zote unapoandika hadidhi lazima uanze na swali na kila filamu huwa inayo furah una udhuru.
DHAMIRA:-
Kabla ya kuandika story lazima ujiulize maswali na ujibu, majibu yako yakusaidie upangilie mtiririko mzuri wenye kuvutia kwa kila atakye soma hadidhi au atakaye tizama filamu yako maswali ya kujiuliza ni hayo yafuatayo:-
Muhusika mkuu ni yupi?
Anapata vizuizi gani?
Kitatokea nini endapo atashindwa kufikiria malengo?
Scene inaanzia wapi na inaishia wapi?
Je kuna uhusiano wowote kati ya tukiol (scene) moja na nyingine?
Je ,atukio yako yanapooza (flat) na kujirudia rudia kutikuwa na mvuto?
Je mtazamaji atafurahia kuangalia filamu yako?
Hayo ni maswali ya kujiuliza na ya msingi kwa kila mwandishi akiyazingatia mwisho wa siku ataandika mswada mzuri na kila mtu ataupenda.  Ubunifu ni muhimu kwa kila mwandishi na ubunifu huo unapaswa uendane na mlolongo wa hadidhi yako pia jambo la msingi katika script mgongano (conlict) mgogoro.
Lazima kuandika kwa kuonesha eneo kama nje au ndani alafu ni sehemu gani sebuleni, chumbani kwa kufuatiwa muda kama mchyana au usiku ni lazima iandikwwe kwa herufi kubwa, usiandike aina ya shots zitakazotumika ili muuongozaji (director) aweze kuweka mawazo yake au ujuzi wake inaweza kuwa shots ulizoziandika yee hazimvutii.

CHARACTER:-
Wahusika wanayoifanya story ikamilike kwa kuitumia script kama muuongozo wao na kujijua wanachokifanya, pasipo wahusika katika filamu, kuna mambo mengi yanayowahusu wahusika ili kuifanya story iwe ya kusisismua na yenye mvutao.
Wahusika wanao mchango mkubwa sana iwapo mwandishi ataweka umakini kwa wahusika pindi atakapoandika story.  Muhusika awe anabadilika au kusogea mbele pamoja na story lakini anapoandika ndipo na story hubadilika.  Katika uandishi wa script ni muhimu kuwa na majina ya sanaa ili kuleta mvuto, hii ni sanaa uwanja wa uchunguzi wa majina ni mpana sana lakini muhimu kumpatia jina au cheo kutokanana na muonekano wake pia usimpatie jina gumu ili iwe wepesi kwa watazaji, baadhi ya eazamaji hupenda kuchukulia mifano kutokana na muhusika kuitendea haki story.
Uandishi wa script nimchanganyiko wa sayansi na sanaa kwa pamoja, unadishi wa script huitaji mtu mbunifu na mwenye uwezo wa kuchanganya ladha mbalimbali kwa lendo la kutoa kitakacholeta  mtazamo mpya kwa jamii anayotaka kuigusa.  Mwandishi wa scipt katika endo hili ni mkemia wa fasihi mwenye uwezo kubadilisha maandishi kasha kufanya maandishi yaonekane kama viumbe ndani ya karatasi kupitia muigizaji kwa kufuatilia nguzo kuu za  kutengeneza filamu ambazo ni kipande kikuu cha uigizaje (master scenes), uigizaj kwa matendo (Action) na mazungumzo (dialogue).
Uandishi wa script ni sanaa yenye kutumia ubunifu mkubwa na suala kubwa la kubuni kamwe si jepesi kila wakati unapoangalia vipindi vya luninga au filamu hata kucheza mchezo unaotumia kumpyupa (game) vyote vimeandikwa kwanza na binadamu.
Lep soko kubwa la sanaa linahitaji ubunifu ili kuleta ujumbe utakaofanikiwa kwa ufasaha, hata hivyo uandishi wa script unaweza ukawa mgumu na wenye kushosha kutotokana na ugumu, mwandhishi anaweza kujikuta baada ya kumaliza kuandika script ya filamu moja akakaa mwaka mzima bila kuandika tena.
Swali:-
    Kiama unaanza kuigiza katika uandishi wa script za filamu na maigizo hje umejidhatiti namana gani ili kuendelea mbele?
Tambua:-
    Script iliyoandikwa vizuri inasomeka haraka kuliko script ambayo haijaandikwa vizuri, ilivyoandikiwa vizuri unaweza kusoma ukurasa wa kwanza hadi wa mwisho kwa mtiririko, mawazo yatakufanya kama unaangalia picha wakati wa kusoma script unaweza usikwame hata ukurasa mmoja ukijaribu kutafakari ni kitu gani kitatokea ni njia iliyobora ya kutengeneza adhira kwa msomaji kwa kuionesha na sio kusimulia wala usiongeze kusimulia ni kitendo cha mtu kuelezea jambe ambalo linaweza kuonekana kama script yako inazungumzia jambo lililopita bora tulione katika kumbukumbu au  mawazo (flashback), kiama unazumgumzia muhusika anafanya jambo Fulani ni bora aonekane akifanya jambo kuliko kutoonesha hilo tendo.  Mfano:- Muhusika akimwambia mpenzi wake anampenda itapendeza tukiona anampa maua akionesha ishara yoyote itakayoonisha kama muhusika anampenda mpenzi wake, muhusika kama amekwazwa ni vizuri zaidi tuone kitendo kilicho mkwaza.
    Script yako ili isipunguze kasi ya usomkaji usijaribu kuweka shots, sehemu gani kamera (camera) iwekwe, jinsi wahusika watakavyo zungumza n.k.

IDEA (WAZO)
    Zipo sababu nyingi za tasnia ya filamu Tanzania haina faida kubwa kulinganisha na nchi zingine zilizoendelea katika masuala ya filamu, ili faida iwe nzuri ni lazima tuepukane nayo masuala haya yafuatayo nitayataja machache.
Script zilizokosa ubunifu.
(Technology) technologia duni.
(Actors and Actress) waigizaji wasio na kipaji.
Elimu ndogo kwa kila (crew) wafanyakazi
Umasikini wa kifedha katika kuandaa filamu
Utandawazi
Script ya filamu ni moyo wa tasinia ya filamu hii ndiyo inayohamasisha filamu ichezwe namana gani ndiyo inayotoa muongozo kwa wansanii kasha kuonekana katika luning, script ilinzuri ni lazima ipangiliwe mazungumzo na matendo yote kwa ujumla namna ambayo wazo litafsiriwe sawia na kuonekana kupitia luninga sawa na mawazo li kutimiza.
Mwandishi kama unayo (idea) wazo la story basi ainisha kwanza sehemu nzuri za kufanya hiyo idea, mahusiano ya tabia (characters) na wasifu wao, lazima pia ujue ni idea ipi imebeba story nzima na namna hao characters watashirikiana kuikamilisha idea hiyo, idea nzuri sio lazima iwe ambayo haujawhai kuisikia bali ni ile ambayo inasisimua na inatoa nafasi ya matukio mengi ili kuikamilisha.
Usichague idea ambazo hauna umahirinazo mpaka utakapokuwa tayari kujifunza na kufanya utafiti (research) juu ya mambo yanayohusu hiyo idea.
(Dialogue) mzungumzo ya kwenye script kwa kawaida zinatofautina na ziwe za ubunifu, maana dialogue za kwenye script zinakua na uhai zenye (speed) kasi ya kutimiza lengo Fulani wakati hazina haraka kwa kuwa muda haunani, wala budget, wala hazikaririwi.  Usiwe na haraka ya uandishi jipe muda wa kufikiria na kuyapangilia mawazo katika mtiririko utakaoeleweka kutimiza script, ni vizuri story uigawe katika vipengele vitatu:-
Utangulizi     -    hapa unawatambulisha wahusika na mahusiano yao, wasifu na
                chanzo cha kisa.
Mgogoro     -    kisa kimetokea na namna gani kinavyoadhiri wahusika au
muhusika.
Hitimisho     -    kisa kimeleta madhara, utatuzi unafanyika ndipo linapatikane jibu
 la kile swali wa mwanzo wa hiyo story.

38 Responses to "KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT} "

  1. Solalegah'z son1 August 2018 at 00:21

    jitahidi kupunguza makosa ya uandishi wako (typing errors) kuna baadhi ya sehemu tunashindwa kuelewa kutokana na makosa hayo niliyo yataja mbali na hapo ahsante kwa elimu unayoitoa ni kitu kizuri hasa kwa wale ambao tunafatilia tasnia hii ya filamu

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUZA FILAMU25 December 2018 at 04:16

      Sawa nimekuelewa ndugu

      Delete
      Replies
        Reply
    2. Reply
  2. Unknown23 December 2018 at 06:45

    Uko vizuri mtoa elimu itabidi nikutafute zaidi unijuze zaidi MUNGU akubariki sana

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUZA FILAMU25 December 2018 at 04:17

      ahsante kwa dua yako

      Delete
      Replies
        Reply
    2. Reply
  3. Unknown17 June 2019 at 13:57

    Enter your comment...Asante kwa darasa zuri na lenye manufaa kwa sisi wapenda tasnia hii, tunaojifunza

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:10

      Hongera

      Delete
      Replies
        Reply
    2. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:12

      Hongera

      Delete
      Replies
        Reply
    3. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:12

      Hongera

      Delete
      Replies
        Reply
    4. Reply
  4. Unknown25 September 2019 at 03:55

    Thanks

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  5. Unknown25 September 2019 at 03:56

    Kaka naomba unichek what's up kwenye namba ya 0762488310 nimeona uko vizur

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  6. Unknown4 December 2019 at 05:10

    Nimependa sana ningependa kujifunza zaidi

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:11

      Ruksa kujifunza ongeza juhudi ya ufuatiliaji

      Delete
      Replies
        Reply
    2. Unknown23 January 2021 at 15:05

      Namalengo makubwa ya kutengeneza film nzur sana....nahitaji campany

      Delete
      Replies
        Reply
    3. Unknown24 October 2021 at 03:33

      npo natafuta
      wakushilikiana nae japo mm n mgeni
      ukipenda ncheki 0628147505

      Delete
      Replies
        Reply
    4. Reply
  7. Wezamtima@...5 December 2019 at 14:47

    Nimekuelewa vema mkuu.napenda niwasiliane nawe (kuna vitu bado nahitaji kujifunza)mkuu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:02

      Kwa wanaohitaji elimu zaidi 0716538398

      Delete
      Replies
        Reply
    2. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:06

      Kwa wanaohitaji elimu zaidi 0716538398

      Delete
      Replies
        Reply
    3. KUZA FILAMU12 December 2019 at 21:06

      Kwa wanaohitaji elimu zaidi 0716538398

      Delete
      Replies
        Reply
    4. Swaaamedia17 April 2020 at 02:58

      KWA kawaida filamu inatakiwa kuwa na scene ngapu

      Delete
      Replies
        Reply
    5. Reply
  8. Unknown6 September 2020 at 01:02

    Ahsante sana, , maana Nina story nataka kuiandaa lkn vingi sikujua jinsi ya kupangilia mawazo na matukio. Vipi unaweza nisaidia mfano wa script iliyoandaliwa ili niangalie jinsi ilivyoandaliawa🙏🙏

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  9. Unknown2 October 2020 at 01:07

    Asante kwa kutujuza mambo muhimu tunayopaswa kujua kuhusiana na suala zima la film

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  10. Unknown28 October 2020 at 08:01

    Ni unge group lako la whatsap linslohusiana na sanaa za film ili nijifunze mengi 0742709800

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unknown27 November 2020 at 04:10

      Naomba kk uniunge whatsup

      Delete
      Replies
        Reply
    2. Reply
  11. Sibandaorg79 March 2021 at 05:50

    Niunge kwenye group LA WHATSAPP ili nijifunze zaidi nmeipenda idea 0710655305

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  12. Sibandaorg79 March 2021 at 06:13

    0623055305 niunge wasap group

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  13. Unknown1 April 2021 at 07:29

    Asante kwa elimu

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  14. Unknown24 April 2021 at 15:53

    Niunge WhatsApp group 0675433349

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  15. Miss Lee7 June 2021 at 13:22

    Niunge WhatsApp ili nijifunze zaid 0746510909

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  16. Unknown9 July 2021 at 15:41

    Kiukwel nimejifunza kaka asante xn kw darsa ulionipa

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  17. Unknown19 August 2021 at 03:46

    Binafsi nimelipenda somo nina ndoto za kuwa mtunzi mzuri na hapa nimeandaa story kutokana na elimu hii. Ningependa kujifuza zaidi naomba uniunge kwenye group lako la WhatsApp. 0784389587.nipo RUANGWA. Ahsante

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  18. Unknown25 November 2021 at 07:05

    Nmeelewaa Thana

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  19. Unknown27 November 2021 at 01:27

    Ninatamani kuandika na ninauwezo wakuandika story lakini nahisi kama

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  20. Unknown27 November 2021 at 01:28

    Nakosea kufata mtililiko maalumu wa filam

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  21. Unknown27 November 2021 at 01:28

    Jee unaweza nisaidia kwa ilo??

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  22. Moto Moto28 December 2021 at 09:06

    Nimeipenda Sana na nimejifunza

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  23. Unknown12 January 2022 at 01:46

    Naomba niunge group la whatsap 0762892058

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  24. Nest23 January 2022 at 07:14

    Msaada mkuu kuna kitu hapo sijakielewa mkuu plz. 0699259125.

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
  25. Unknown24 January 2022 at 04:11

    Naomba niunge group la Whatsp 0655951863

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
Add comment
Load more...

← Newer Post Older Post → Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FOLLOW US

POPULAR POSTS

  • KILA MWANDISHI WA MISWADA {SCRIPT}
    Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee h...
  • IFAHAM HISTORIA YA KANUMBA YOTE KWA UJUMLA
    Hayati Steven Kanumba amezaliwa Januari 8 ,1984 Shinyanga,Tanzania Amefarki Aprili 7, 2012 (umri 28)Dar es Salaam,Tanzania Kaz...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 01
                                                                                                             SAMAKI MTU(MERMAID)   ...
  • MZEE MSISIRI ATUMBUA JIPU
    •••• ♦ •••• ♦ •••• ♦ •••• ♠ ••• ♦ 1. Jina langu kamili ni FADHILI RAJABU MSISILI 2. Kabira langu ni Chotara wa kizigua kwa baba na ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 04
                                                                                                                          SAMAKI MTU(MERMAID...
  • ULINGO WA MOTO FILAM YA MAPIGANO YENYE UARISIA
    Daaah!!! Nikali tena ni noma sana,Usisa hau wala usikose kupata nakala yako.Tarehe 23/4/2018 filamu hii itakua tayari imo sokoni.....UL...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 02
                                                           SAMAKI MTU(MERMAID)                                                        ...
  • MFAHAM JUMA KILOWEKO SAJUKI
    Sajuki alizaliwa mwaka 1984, mkoani Songea na kupata elimu yake ya msing na sekondari hukohuko mkoani Songea.Ambapo mwaka 2005 aliweza ku...
  • JINSI YA KUTENGENEZA FILAM NA KUUZA
     KATIKA miongo kadhaa iliyopita filam nyingi zenye mafanikio zimetokezwa huko Hollywood. Hilo limekuwa na uvutano mkubwa ulimwenguni pote ...
  • SAMAKI MTU(MERMAID) 11
                                                                   SAMAKI MTU(MERMAID)                                                 ...
Back to top!
Copyright (c) 2014 FILM TANZANIA. All Rights Reserved Created by Flash TZ Blog. Designed by Flash TZ Blog. Powered by Blogger.